forked from WA-Catalog/sw_tn
Add '1th/02/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
20161b6e1b
commit
5bde3d6653
|
@ -0,0 +1,18 @@
|
|||
# 1 Wathesalonike 02 Maelezo kwa ujumla
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Shahidi ya Mkristo
|
||||
|
||||
Paulo anathamini "Shahidi yake ya Kikristo" kama dhihirisho kwamba injili ni ya ukweli. Paulo anasema kwamba kuwa mtakatifu ama kuishi uungu unashuhudia wasio Wakristo. Paulo anatetea tabia yake ili shahidi wake isiathiriwe. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/testimony and rc://en/tw/dict/bible/kt/godly and rc://en/tw/dict/bible/kt/holy)
|
||||
|
||||
#### Kuishi Kikristo
|
||||
|
||||
Sheria ya Musa ilihitaji watu kutoa dhabihu ya wanyama au ya nafaka ndani ya hekalu. Mungu hahitaji dhabihu nyakati hizi. Mungu anahitaji watu waishi kama sadaka.Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[1 Thessalonians 02:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../01/intro.md) | [>>](../03/intro.md)__
|
||||
|
Loading…
Reference in New Issue