forked from WA-Catalog/sw_tn
Add '1co/14/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
8006533bdd
commit
5b39d5b8ff
|
@ -0,0 +1,23 @@
|
|||
# 1 Wakorintho 14 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na upangiliaji
|
||||
|
||||
Katika sura hii, Paulo anaandika tena kuhusu vipaji vya kiroho.
|
||||
|
||||
Baadhi ya tafsiri huweka kile kinanukuliwa kutoka kwenye Agano la Kale kwa upande wa kulia zaidi kwenye ukurasa; zaidi ya maandiko yote. ULB inafanya hivyo kwa maneno ya mstari wa 21.
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Ndimi
|
||||
|
||||
Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya kipaji cha ndimi. Paulo anaelezea kipaji cha ndimi kama ishara kwa wasioamini. Haitumiki kwa kanisa lote, isipokuwa mtu akielezea kile kinachosemwa. Ni muhimu sana kwamba kanisa linatumia kipaji hiki vizuri.
|
||||
|
||||
#### Unabii
|
||||
|
||||
Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya unabii kama kipaji cha kiroho. Paulo anasema manabii wanaweza kujenga kanisa lote. Anaelezea unabii kama kipaji kwa waumini. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/prophet)
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[1 Corinthians 14:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue