forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'mat/21/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
760ad456c2
commit
56deca719b
|
@ -0,0 +1,22 @@
|
|||
# Mathayo 21 Maelezo ya Jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na upangiliaji
|
||||
|
||||
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 21:5,16 na 42, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Hosana
|
||||
|
||||
Hili ndilo neno ambalo watu walisema wakipiga kelele walipomkaribisha Yesu huko Yerusalemu. Ilikuwa ni tamko la sifa, ingawa pia ilikuwa neno la Kiebrania linalomaanisha, "Tuokoe!"
|
||||
|
||||
### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
||||
|
||||
#### "Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwenu"
|
||||
|
||||
Wasomi wametofautiana kuhusu maana ya maneno haya. Swali muhimu ni hili: Je, tukio hili itakuwa la kudumu au la muda? Ikiwezekana, uziache wezekano zote mbili kuwa wazi katika tafsiri yako.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
* __[Matthew 21:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../20/intro.md) | [>>](../22/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue