forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'act/05/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
0be5bc7472
commit
51e31658d3
|
@ -0,0 +1,19 @@
|
|||
# Matendo 5 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Dhana maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### "Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu"
|
||||
|
||||
Hakuna anayejua kwa ukamilifu iwapo Anania na Safira walikuwa Wakristo wa ukweli walipoamua kudangaya kuhusu kipande cha ardhi walichokiuza (Matendo 5:1-10), kwa maana Luka hataji swala hili. Anasema tu kwamba walikuwa "miongoni mwa walioamini" (Luke 4:32).Hata hivyo, Petero alifahamu kwamba walidanganya waumini, na alijua kwamba walikuwa wamsikiliza na kumtii shetani.
|
||||
|
||||
Walipowadanganya waumini, pia walimdanganya Roho Mtakatifu kwa sababu anaishi ndani ya Waumini.
|
||||
|
||||
#### Gereza
|
||||
|
||||
"Gereza ya uma" ambamo Baraza la Wayahudi walimueka ndani Petero (Matendo 5:18) huenda lilikuwa gereza.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Acts 05:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../04/intro.md) | [>>](../06/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue