forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'act/14/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
385e4ba0e4
commit
36dd1947c1
|
@ -0,0 +1,23 @@
|
|||
# Matendo 14 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Dhana Maalum katika sura hii
|
||||
|
||||
#### "Ujumbe wa neema yake"
|
||||
|
||||
Ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao huwapa neema wanaomuamini Yesu. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/grace and rc://en/tw/dict/bible/kt/believe)
|
||||
|
||||
#### Zeu na Herme
|
||||
|
||||
Watu wa mataifa katika himaya ya Warumi waliabudu miungu wengi ambao hawakuwepo. Paulo na Barnaba waliaambia kuamini katika "Mungu aliye hai" Yahwe. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/falsegod)
|
||||
|
||||
### Maswala mengine tata kwenye tafsiri ya sura hii.
|
||||
|
||||
#### "Lazima tuingie kwenye ufalme wa Mungu kupitia mateso mengi"
|
||||
|
||||
Yesu aliwaambia wafuasi wake kabla hajafa kwamba kila anayemfuata angepata mateso. Paulo anayarudia maneno hayo kupitia maneno tofauti na hayo.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Acts 14:1](../../act/14/01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue