From 12556990c01ea8922af120271c389cd9bd46893c Mon Sep 17 00:00:00 2001 From: Rick Date: Wed, 5 May 2021 18:40:46 +0000 Subject: [PATCH] Add 'luk/14/Intro.md' --- luk/14/Intro.md | 27 +++++++++++++++++++++++++++ 1 file changed, 27 insertions(+) create mode 100644 luk/14/Intro.md diff --git a/luk/14/Intro.md b/luk/14/Intro.md new file mode 100644 index 0000000..b3a0c0b --- /dev/null +++ b/luk/14/Intro.md @@ -0,0 +1,27 @@ +# Luka 14 Maelezo ya Jumla + +### Muundo na upangiliaji + +Mstari wa 3 unasema, "Yesu aliwauliza wataalam wa sheria ya Kiyahudi na Mafarisayo, 'Je, ni halali kuponya siku ya Sabato, au la?'" Mara nyingi, Mafarisayo walimkasirikia Yesu kwa kuponya siku ya Sabato. Katika kifungu hiki, Yesu awashangaza Mafarisayo. Ilikuwa kawaida Mafarisayo ambao walijaribu kumtega Yesu. + +#### Mabadiliko ya ghafla + +Sura hii inabadilika kwa kasi kutoka kwenye mada moja hadi nyingine. Kuna sehemu kadhaa kubwa zilizo na mistari nyingi na mafundisho mengine mafupi yaliyomo katika mstari mmoja. + +### Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii + +#### Mfano + +Luka 14:15-24 ni kama mfano uliopanuliwa. Ufalme wa Mungu unaweza kuwasilishwa kama sikukuu ya harusi au chakula cha jioni. Mfano huu ungeweza kuonyesha kuwa watu wanamkataa Yesu kwa sababu mbalimbali zisizo muhimu na kwa sababu ya hii kukosa kupokea baraka kubwa za Yesu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/kingdomofgod) + +### Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii + +#### Matumizi ya kitendawili + +Kitendawili ni taarifa inayoonekana kuwa ya ajabu, ambayo ni kana kwamba inajikana yenyewe, lakini kwa hakika sio ya ajabu. Mfano wa kitendawili katika sura hii: "kwa maana kila mtu atakayejikuza atanyenyekezwa, na yeye atakayejinyenyekeza atainuliwa" (Luka 14:11). + +## Links: + +* __[Luke 14:01 Notes](./01.md)__ + +__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__ \ No newline at end of file