forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
252 B
Markdown
13 lines
252 B
Markdown
|
# ngozi ya samazi
|
||
|
|
||
|
Nguo itokanayo na ngozi ya kondoo.
|
||
|
|
||
|
# umande
|
||
|
|
||
|
maji yanayotoka kwenye mimea wakati wa usiku.
|
||
|
|
||
|
# basi nitajua kwamba utanitumia
|
||
|
|
||
|
Maana halisi ya sentensi hii yaweza kuwa "Hii itakuwa ishara toka kwako, kisha nitajua kwamba utanituma"
|
||
|
|