forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
1014 B
Markdown
29 lines
1014 B
Markdown
|
# Mji ngambo ya mto
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji ambalo liko magharibi ya mto efrati. Ilikuwa kuvuka mto kutoka mji wa Susa. Tafsiri kama katika 4:9
|
||
|
|
||
|
# Ada na kodi walilipwa wao
|
||
|
|
||
|
hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:'Watu katika Yerusalem walilipa ada na kodi kwa wale wafalme" au "Wale wafalme waliweza kukusanya ada na kodi"
|
||
|
|
||
|
# kuweka agizo
|
||
|
|
||
|
"kuweka amri"
|
||
|
|
||
|
# Uwe mwangalifu usipuuze hili
|
||
|
|
||
|
"Uwe mwangalifu kufanya hili"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini kuruhusu tishio hili kuongezeka na kusababisha hasara kwa matakwa ya mfalme?
|
||
|
|
||
|
Artashasta alitumia swali kuwaambia wao kwamba anafahamu ya kuwa atapoteza kodi na heshima ikiwa mji utajengwa. AT:"Unapaswa kuhakikisha kwamba hili tishio halikuhi na kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme"
|
||
|
|
||
|
# tishio kukua
|
||
|
|
||
|
Hatari imeongelewa kana kwamba ulikuwa mmea ambao ungekuwa na kuongezeka kwa kimo. AT:"hatari ya kuja kuwa balaa"
|
||
|
|
||
|
# kusababisha hasara zaidi kwa matakwa ya ufalme
|
||
|
|
||
|
neno "matakwa ya ufalme" ni msemo kwa mfalme mwenyewe. AT:"kusababisha mabaya mengi kutokea kwa mfalme"
|
||
|
|