forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
333 B
Markdown
13 lines
333 B
Markdown
|
# sadaka za viapo vyako
|
||
|
|
||
|
"sadaka kutimiza viapo" au "sadaka ya kiapo"
|
||
|
|
||
|
# damu ya dhabihu zako itamwangwa nje
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutajwa kwa kauli tendaji. "kuhani atamwanga damu ya dhabihu"
|
||
|
|
||
|
# utakula nyama
|
||
|
|
||
|
Sheria ya Mungu inafafanua sehemu za mnyama ni za sadaka za kuteketezwa, ambayo sehemu ni za kuhani na ni sehemu gani za mtoaji.
|
||
|
|