forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
515 B
Markdown
29 lines
515 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Zaidi ya hayo
|
||
|
|
||
|
"Na pia"
|
||
|
|
||
|
# tuma nyigu
|
||
|
|
||
|
Yamkini maana ni 1)Mungu atatuma wadudu walikuo ambao wanauuma watu na kusababisha maumivu, au 2) Mungu atasababisha watu kuogopa na kutaka kukimbia.
|
||
|
|
||
|
# kuangamia kutoka uweponi mwako
|
||
|
|
||
|
"kufa ili usiwaone tena"
|
||
|
|
||
|
# Hautakuwa
|
||
|
|
||
|
"Kamwe"
|
||
|
|
||
|
# mkuu na Mungu wa kutisha
|
||
|
|
||
|
"mkuu na Mungu wa kutisha" au "Mungu mkuu asababishae watu kuogopa"
|
||
|
|
||
|
# kidogo kwa kidogo
|
||
|
|
||
|
"polepole"
|
||
|
|