forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
637 B
Markdown
21 lines
637 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwaambia watu wa Israeli maneno ya Yahwe kama wanaisraeli wako mtu mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Kwa watakuwa
|
||
|
|
||
|
"Kama mtaruhusu watoto wenu kuoa watu kutoka mataifa mengine, watu kutoka mataifa watakuwa"
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo hasira ya Yahwe itawashwa dhidi yenu
|
||
|
|
||
|
Musa analinganisha hasira ya Yahwe kwa yeyote anawasha moto. Hii inasisitiza nguvu ya Yahwe kuharibu kile kimsababisha yeye kukasirika. Hii inaweza kutajwa katika kauli tendaji.
|
||
|
|
||
|
# dhidi yenu
|
||
|
|
||
|
Neno "wewe" urejea kwa wanaisraeli wote na kwa hiyo ni wingi.
|
||
|
|
||
|
# utashughulika...utavunja...kata..choma
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na wanaisraeli wote, kwa hiyo haya maneno ni wingi.
|
||
|
|