forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
396 B
Markdown
13 lines
396 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hivi ndivyo ilivyotokea baada ya Bwana kusababisha maaskari Washami kufikiri wamesikia jeshi kubwa la adui linakaribia kambi yao.
|
||
|
|
||
|
# jioni
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea jioni mapema baada ya jua kuzama, lakini nyuma yake ni giza.
|
||
|
|
||
|
# nyara
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa vitu ambavyo huchukuliwa na jeshi lililoshinda kutoka jeshi jingine ambalo limeshindwa. Hapa inarejea kwa "fedha na dhahabu na nguo."
|
||
|
|