forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
513 B
Markdown
21 lines
513 B
Markdown
|
# Tazama sasa
|
||
|
|
||
|
"Sikiliza" au "Uwe msikivu kwa jambo ninalotaka kukuambia"
|
||
|
|
||
|
# maneno ya manabii kwa kinywa kimoa wanatabiri mambo mema kwa mfalme
|
||
|
|
||
|
Kirai cha "kwa kinywa kimoja" kinamaanisha kwamba wote wanasema jambo lilelile jema kwa mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Tafadhli maneno yako yawe kama yao
|
||
|
|
||
|
"yao" inamaanisha "maneno ya manabii." kile unachosema kifanane na kile walichosema"
|
||
|
|
||
|
# je, twende
|
||
|
|
||
|
Neno "twe" linamaanisha Ahabu, Yehoshafati, na majaeshi yao lakini si Mikaya.
|
||
|
|
||
|
# BWANA ataitoa kwenye mkono wa mfalme
|
||
|
|
||
|
Tazama 22:5
|
||
|
|