forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
274 B
Markdown
13 lines
274 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Viongozi wa Israeli wanawahesabu wanaume wenye umri wa miaka 20 na zaidi, kwa kufuata makabila yao na familia zao.
|
||
|
|
||
|
# ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"Israeli" inamaanisha Yakobo
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwa mwana wake
|
||
|
|
||
|
Neno "wake" inamaanisha Reubeni
|
||
|
|