forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
910 B
Markdown
25 lines
910 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa anamlalamikia BWANA akitumia maswali mengi yasitotaka majibu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna? kwa nini hujapendezwa na mimi?
|
||
|
|
||
|
"usinitendee mimi, mtumishi wako, vibaya namna hiyo." au "usiwe na hasira dhidi yangu."
|
||
|
|
||
|
# Umenifanya kubeba mizigo ya hawa watu
|
||
|
|
||
|
"umenifanya niajibike kwa ajili ya hawa watu"
|
||
|
|
||
|
# Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia?
|
||
|
|
||
|
"Mimi si baba wa hawa watu. Kwa hiyo si sahihi kuniambia mimi."
|
||
|
|
||
|
# wabebe kwa ukaribu vifufani mwako kama baba abebavyo mtoto wake
|
||
|
|
||
|
Maana yake ni kwamba Musa analazimika kuajibika kwa watu ambao hawawezi kujilinda wenyewe, kama vile mzazi alindavyo kichanga.
|
||
|
|
||
|
# Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ... mababu zao kuwapa?
|
||
|
|
||
|
""Usinitegeme mimi kuwabeba... mpaka kwenye uliyowaahidi mababu zao kuwapa" au "siwezi kuwabeba... mpaka kwenye nchi uliyowaahidi mababu zao."
|
||
|
|