forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
649 B
Markdown
25 lines
649 B
Markdown
|
# mahakimu wakararua nguo zao na kuwavulia
|
||
|
|
||
|
Mahakimu walirarua nguo za Paulo na Sila na kuwavulia"
|
||
|
|
||
|
# na kuwaamuru wachapwe na viboka
|
||
|
|
||
|
"Kumuamuru maaskari kumchapa Paulo na Sila kwa viboko"
|
||
|
|
||
|
# waliwatupa
|
||
|
|
||
|
"mahakimu waliwaweka Paulo na Sila" au " mahakimu waliwaamuru maasakari kumuweka Paulo na Sila"
|
||
|
|
||
|
# na kumuamuru askari wa gereza kuwalinda vema
|
||
|
|
||
|
Askari wa gereza ni mtu anayehusika na wafu wote waliowekwa jela au gerezani. "kumuambi mlinzi wa gereza ahakikishe kuwa hawatoki nje"
|
||
|
|
||
|
# kuwafunga
|
||
|
|
||
|
"kuwafungia imara katika sehemu"
|
||
|
|
||
|
# nguzo
|
||
|
|
||
|
ni kipande cha mti iliyo na matobo kwa ajili ya kuwekea miguu ya mtu ili imzuiye mtu huyo asiweze kwenda.
|
||
|
|