forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
809 B
Markdown
29 lines
809 B
Markdown
|
# sehemu za ndani
|
||
|
|
||
|
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
|
||
|
|
||
|
# ini...figo
|
||
|
|
||
|
Limefasiriwa kama ilivyofanyika katika sura ya 3:3
|
||
|
|
||
|
# paja la kulia
|
||
|
|
||
|
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 7:31.
|
||
|
|
||
|
# kikapu cha mikate isiyo na hamira ambayoo ilikuwa mbele za Yahweh
|
||
|
|
||
|
Hii haimaanishi mahali pa kikapu cha mikate. humaanisha kwamba huu ni mkate ambao Musa amishauweka wakfu kwa Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# weka mikoni mwa Aroni na katika mikono ya wanawe
|
||
|
|
||
|
"Mikono" hapa huwakilisha nafsi nzima. : "aliitoa yote kwa Aroni na wanawe"
|
||
|
|
||
|
# kuvitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa
|
||
|
|
||
|
Inaashiria kwamba Aroni na wanawe waliiwasilisha sadaka. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa ya kueleweka. :"Walivitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa"
|
||
|
|
||
|
# kuitikisa
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la kiishara linaloweka wakfu sadaka kwa Yahweh.
|
||
|
|