forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
392 B
Markdown
13 lines
392 B
Markdown
|
# kondoo wa kuwekwa wakfu
|
||
|
|
||
|
Neno "kuweka wakfu" ni nomino dhahania. : "kondoo kwa ajili ya kuwatenga Aroni na wanawe kwa ajili ya huduma ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# wakaweka mikono yao juu ya kichwa
|
||
|
|
||
|
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:3
|
||
|
|
||
|
# naye akaweka sehemu ya damu ya kondoo
|
||
|
|
||
|
Inaonesha kwamba Musa aliikinga damu kwenye bakuli wakati ilipochuruzika kutoka kwa mnyama. Maana yake yaweza kuwekwa wazi
|
||
|
|