sw_tn_fork/ecc/02/19.md

13 lines
258 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Na ni nani ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?
"Kwa kuwa hakuna ajuaye kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu."
# atakuwa
Hapa inamaanisha mtu yule atakaye rithi utajiri wa Sulemani.
# moyo wangu ukaanza kukata tamaa
"Nikaanza kusononeka"