forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
696 B
Markdown
25 lines
696 B
Markdown
|
# kwa kazi hii
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "alikuwa na kila kitu alichohitaji"
|
||
|
|
||
|
# kwamba wengine waweze kupata nafuu na ninyi mweze kulemew
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: : kuwa mtawaondolea wengine mzigo na kujitwisha wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# ni lazima kuwe na usawa
|
||
|
|
||
|
"lazima pawe na haki"
|
||
|
|
||
|
# Hii ni hivyo pia ili kwamba wingi wao uweze kusaidia mahitaji yenu
|
||
|
|
||
|
Kwa maana Wakorintho wanatenda katika wakati uliopo, imehusishwa kuwa wakristo wa Yerusalemu kwa wakati mwingine ujao watawasaidia wao pia.
|
||
|
|
||
|
# kama ilivyoandikwa
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa Paulo ananukuu kwenye kitabu cha Kutoka.
|
||
|
|
||
|
# hakupungukiwa na chochote
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa hivi: "alikuwa na mahitaji yake yote"
|
||
|
|