forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
587 B
Markdown
17 lines
587 B
Markdown
|
# katika namna ileile walijiingiza wenyewe kwenye
|
||
|
|
||
|
Sodoma na Gomora waliishi katika dhambi ya zinaa katika namna hihyo hiyo kama malaika walivyo fuata njia za uovu.
|
||
|
|
||
|
# kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele
|
||
|
|
||
|
Uharibifu wa watu wa Sodoma na Gomora ulifanyika mfano wa hatima ya wote wanao mkataa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# hawa pia walichafua
|
||
|
|
||
|
"Hawa" ina rejea kwa watu wanaomkataa Mungu ambao huchafua miili yao kwa uasherati kwa namna hiyo wakitupa takataka kwenye mkondo inaweza kusababisha maji kuwa mabaya kunywa.
|
||
|
|
||
|
# kuhusu wenye utukufu
|
||
|
|
||
|
"kuhusu malaika wazuri wa Mungu"
|
||
|
|