forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
338 B
Markdown
17 lines
338 B
Markdown
|
# vijito
|
||
|
|
||
|
mito midogo
|
||
|
|
||
|
# punda pori huzima kiu yao
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba wanazima kiu yao kwa kunywa maji. "punda pori hunywa maji kuzima kiu yao"
|
||
|
|
||
|
# ukingo wa mto
|
||
|
|
||
|
ardhi katika ukingo wa mto
|
||
|
|
||
|
# wanaimba miongoni mwa matawi
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anafafanua ndege kulia kana kwamba walikuwa wakiimba. "wanalia miongoni mwa matawi ya mti"
|
||
|
|