sw_tn_fork/neh/09/25.md

21 lines
360 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Sentensi unganishi
Katika aya hizi, Walawi wanaendelea kumsifu Bwana mbele ya watu wa Israeli.
# Wao waliteka
Waisraeli wakati wa Musa waliteka
# nchi yenye ustawi
"ardhi yenye rutuba"
# birika zilizochimbwa
mashimo katika ardhi ambapo watu kuhifadhi maji
# wakatosheka
Hii inaweza kuwa mfano kwa "kuacha kufikiri kuhusu Bwana "au" wakawa hasira"