forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
885 B
Markdown
33 lines
885 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Mwanadishi amekoma kueleza habari ya kuhojiwa kwa Yesu na anaeleza jinsi Yuda alivyojiua
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Tukio hili limeanza baada ya Yesu kuhojiwa mbele ya baraza la viongozi wa Wayahudi, lakinni hatujui kama hii ilitokea baada au kabla ya mahojiano ya Yesu kwa Pilato
|
||
|
|
||
|
# Kisha wakati Yuda
|
||
|
|
||
|
Kama lugha yako ina namna ya kuonesha habari mpya inapoanza, unaweza kuitumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# Yesu amaekwisha kuhukumiwa
|
||
|
|
||
|
"Viongozi wa Wayahudi wameshamhukumu Yesu"
|
||
|
|
||
|
# vipande thelathini vya fedha
|
||
|
|
||
|
Tazam 26:14
|
||
|
|
||
|
# damu isiyo na hatia
|
||
|
|
||
|
"mtu ambaye hakustahili kufa"
|
||
|
|
||
|
# inatuhusu nini?
|
||
|
|
||
|
"hilo siyo tatizo letu" au "hilo ni tatizo lako"
|
||
|
|
||
|
# alivirusha chini vile vipande vya fedha katika hekalu"
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha 1) alivitupa vile vipande vya fedha akiwa kwenye korido la hekalu, au 2) alikuwa amesimama kwenye korido la hekalu na akavitupa vile vipande vya fedha hekaluni.
|
||
|
|