forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
590 B
Markdown
25 lines
590 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
|
||
|
|
||
|
# nani.....nchi ya chumvi
|
||
|
|
||
|
Yahweh anatumia maswali haya ili kutia mkazo kwamba yeye huwalinda punda pori na ya kwamba Ayubu hawezi kufanya hivyo.
|
||
|
|
||
|
# Punda mwtu.... punda wepesi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina tofauti ya aina ile ile ya punda
|
||
|
|
||
|
# vifungo
|
||
|
|
||
|
kamba, minyororo ambayo hufunga mnyama na kumzuia asikimbie.
|
||
|
|
||
|
# ni nyumba ya nani
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaiongolea punda kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye ana nyumba. "Nilimpta Araba kama nyumba ya kuishi"
|
||
|
|
||
|
# nchi ya chumvi
|
||
|
|
||
|
nchi inayoizunguka Bahari ya Chumvi ambayo ina chumvi nyingi ndani yake.
|
||
|
|