forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
764 B
Markdown
29 lines
764 B
Markdown
|
# neno la Bwana lilikuja
|
||
|
|
||
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:1.
|
||
|
|
||
|
# kama vile tini hizi nzuri
|
||
|
|
||
|
Tini nzuri ni wale waliohamishwa wa Yuda waliotumwa kwenda nchi ya Wakaldayo.
|
||
|
|
||
|
# Nitaweka macho yangu kwao wapate mema
|
||
|
|
||
|
"Nitawabariki."
|
||
|
|
||
|
# Nitawajenga, wala sitawaangamiza. Nitawapanda, wala sitawang'oa.
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi mbili zina maana sawa. Jambo la pili linaimarisha mawazo ya kwanza. "Nitawasaidia kufanikiwa katika Wakaldayo."
|
||
|
|
||
|
# Nitawajenga, wala sitawaangamiza
|
||
|
|
||
|
Neno hili linawafananisha wahamisho na jengo ambalo Bwana atajenga na si kuvunja. AT "Nitawasaidia kufanikiwa katika nchi, na si kuwaangamiza."
|
||
|
|
||
|
# Nitawapanda, wala sitawang'oa
|
||
|
|
||
|
"Nitawaweka katika nchi, wala siwaondoe."
|
||
|
|
||
|
# hivyo watanirudia kwa moyo wao yote.
|
||
|
|
||
|
"watanirudia kwa uzima wao wote"
|
||
|
|