forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
312 B
Markdown
17 lines
312 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Lazima uadhimishe
|
||
|
|
||
|
"Lazima uheshimu"
|
||
|
|
||
|
# Sherehe ya Ukusanyaji
|
||
|
|
||
|
Hii sherehe ya sherekewa mwishoni mwa mavuno ya mazao ya mwaka.
|
||
|
|
||
|
# Wanaume wote wako lazima wajitokeze
|
||
|
|
||
|
Hapa "kujitokeza" kuna maana ya kukusanyika kwa ibada.
|
||
|
|