sw_tn_fork/1sa/21/07.md

17 lines
506 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Doegi.......wachungaji
Unaweza kuhitaji kusema wazi kwamba Doegi aliona kile Daudi alichofanya. AT " Doegi ... wachungaji, na aliona kile Ahimeleki alivyofanya"
# Doegi
jina la mwanaume
# ameshilkiliwa mbele za Bwana
Maana iwezekanavyo ni 1) "kwa kuwa Bwana amemzuia hapo," labda Doeg aliweza kumaliza kufanya kitu alichoahidi Bwana angekifanya (angalia UDB) au 2) hakuna mtu anayejua kwa nini alikuwa huko, "kwa sababu fulani"
# wachungaji
watunzaji na walinzi wa kundi, hasa ng'ombe au kondoo