forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
388 B
Markdown
17 lines
388 B
Markdown
|
# siku zako zitapo timia
|
||
|
|
||
|
Maisha yana tajwa kama idadi kadhaa za siku. "utakapo kufa"
|
||
|
|
||
|
# kwenda kwa baba zako
|
||
|
|
||
|
Haya maneno yaeleza kifo kama sehemu mababu wa Daudi walipo kwasababu wamekufa tayari.
|
||
|
|
||
|
# nitainua uzao wako
|
||
|
|
||
|
Kumueka mtu katika uongozi ya tajwa kama kumuinua juu sana.
|
||
|
|
||
|
# nitaimarisha kiti chake cha enzi
|
||
|
|
||
|
Haki ya kutawala kama mfalme imeelezwa kama sehemu ya mfalme kuishi.
|
||
|
|