forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
525 B
Markdown
21 lines
525 B
Markdown
|
# Petro na mitume wakajibu
|
||
|
|
||
|
Petro alizungumza kwa niaba ya mitume wote kwa maneno yafuatayo.
|
||
|
|
||
|
# kwa kumtundika juu ya mti
|
||
|
|
||
|
Petro anatumia neno "mti" kuonyesha kuwa msalaba ulitengenezwa kutokana na mti. "Kwa kumtundika juu ya msalaba"
|
||
|
|
||
|
# kutoa toba kwa Israeli, na msamaha wa dhambi
|
||
|
|
||
|
Neno "toba" na "msamaha" yanamaanisha kuleta msamaha kwa watu wa Israeli kwa njia ya toba na kisha Mungu kuwasamehe dhambi zao.
|
||
|
|
||
|
# Israeli
|
||
|
|
||
|
Linamaanisha Wayahudi wote.
|
||
|
|
||
|
# kwa wale wanaomtii
|
||
|
|
||
|
"Wote wanaojikabidhi chini ya mamlaka ya Mungu"
|
||
|
|