forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
499 B
Markdown
21 lines
499 B
Markdown
|
# Wao...wao... Watu hawa.... wao
|
||
|
|
||
|
Hii inahusisha Wayahudi na Wayunani
|
||
|
|
||
|
# Miguu yao ina mbio kumwaga damu
|
||
|
|
||
|
"Wapo katika haraka ya kudhuru na kuua watu"
|
||
|
|
||
|
# Uharibifu na mateso ni katika njia zao
|
||
|
|
||
|
'Kila mtu anaishi katika njia hiyo kwamba wao kwa makusudi kujaribu kuharibu wengine na kusababisha wao kuteseka'
|
||
|
|
||
|
# Njia ya amani
|
||
|
|
||
|
"Njia" ni "barabara" au "njia" AT: "Jinsi ya kuishi kwa amani na wengine"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yao
|
||
|
|
||
|
"Kila mtu anakataa kumpa Mungu heshima anayostahili"
|
||
|
|