forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
920 B
Markdown
21 lines
920 B
Markdown
|
# Taarifa ya Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania.
|
||
|
|
||
|
# wimbo wa upaaji
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi."
|
||
|
|
||
|
# Toka vilindini
|
||
|
|
||
|
Huzuni ya mwandishi inazungumziwa kana kwamba ni chombo. Huzuni yake inatokea chini ya chombo. Huzuni mwara nyingi huzungumziwa kama chombo kinachojaa kutoka juu hadi chini. "Kwa sababu nina huzuni sana,"
|
||
|
|
||
|
# acha maskio yako yawe masikivu
|
||
|
|
||
|
Masikio yanaashiria ni Yahwe, lakini kwa sababu mwandishi anafahamu kuwa Yahwe anasikia kila kitu, anachoomba ni kwa Yahwe kujibu. "tafadhali sikiliza" au "tafashali jibu"
|
||
|
|
||
|
# kwa maombi yangu ya huruma
|
||
|
|
||
|
"Huruma" sio kitu kinachoweza kupewa kimwili kwa mtu. Mwandishi anazungumzia kuhusu Yahwe kuwa na huruma kwake. "kwa maombi yangu na kuwa na huruma kwangu"
|
||
|
|