sw_tn_fork/psa/130/001.md

21 lines
920 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Ujumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kihebrania.
# wimbo wa upaaji
Maana zinazowezekana ni 1) "wimbo ambao watu waliimba walipokwenda Yerusalemu kusherehekea" au 2) "wimbo watu walioimba wakati wakipanda ngazi kwenda hekaluni" au 3) "wimbo ambao maneno yake ni kama ngazi."
# Toka vilindini
Huzuni ya mwandishi inazungumziwa kana kwamba ni chombo. Huzuni yake inatokea chini ya chombo. Huzuni mwara nyingi huzungumziwa kama chombo kinachojaa kutoka juu hadi chini. "Kwa sababu nina huzuni sana,"
# acha maskio yako yawe masikivu
Masikio yanaashiria ni Yahwe, lakini kwa sababu mwandishi anafahamu kuwa Yahwe anasikia kila kitu, anachoomba ni kwa Yahwe kujibu. "tafadhali sikiliza" au "tafashali jibu"
# kwa maombi yangu ya huruma
"Huruma" sio kitu kinachoweza kupewa kimwili kwa mtu. Mwandishi anazungumzia kuhusu Yahwe kuwa na huruma kwake. "kwa maombi yangu na kuwa na huruma kwangu"