sw_tn_fork/psa/076/006.md

13 lines
281 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Kwa kukemea kwako
"Ulipowakemea"
# walisinzia
"walikufa" au "walianguka chini na kufa"
# nani anaweza kusimama mbele ya macho yako unapokuwa na hasira?
"Hakuna mtu anayeweza kusimama machoni pako unapokuwa na hasira" au "Unaweza kumwangamiza yeyote ambaye una hasira naye"