forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
655 B
Markdown
21 lines
655 B
Markdown
|
# na mwamba wangu usifiwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "yeye ni mwamba wangu na anapaswa kusifiwa" au "watu wasifu mwamba wangu"
|
||
|
|
||
|
# mwamba wangu
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anazungumzia ulinzi wa Yahwe kana kwamba alikuwa ni mwamba uliozuia adui zake kumfikia.
|
||
|
|
||
|
# Na Mungu wa wokovu wangu ainuliwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na watu wamtukuze Mungu wa wokovu wangu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu wa wokovu wangu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa Mungu amemuokoa. "Mungu aliyeniokoa"
|
||
|
|
||
|
# Mungu anayetekeleza kisasi kwa ajili yangu
|
||
|
|
||
|
"Kutekeleza kisasi" inamaana kuwaadhibu watu kwa matendo yao maovu. "Mungu anayewaadhibu watu kwa matendo maovu waliyotenda kwangu"
|
||
|
|