forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
438 B
Markdown
21 lines
438 B
Markdown
|
# hata hivyo mbwa waadogo hula chkula ... mezani mwa bwana zao
|
||
|
|
||
|
Yule Mwanamke akamjibu Yesu kwa kutumia mazingira yale yale aliyetumia Yesu kwenye mithali. Alimaanisha kuwa wasiokuwa Wayahudi waliweza kupata kiasi kidogo cha kile walichopata Wayahudi amabcho walikuwa wanatupa.
|
||
|
|
||
|
# mbwa wadogo
|
||
|
|
||
|
tazama 15"24
|
||
|
|
||
|
# na ifanyike kwako kama ulivyotaka
|
||
|
|
||
|
Nitafanya
|
||
|
|
||
|
# binti yake alikuwa ameponywa
|
||
|
|
||
|
Yesu alimponya yule binti
|
||
|
|
||
|
# wakati huo
|
||
|
|
||
|
ghafla
|
||
|
|