forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
828 B
Markdown
29 lines
828 B
Markdown
|
# Nitakufata
|
||
|
|
||
|
"nitaungana nawe kama mwanafynzi" au " niko tayari kukufata"
|
||
|
|
||
|
# kwanza ni ruhusu nikuagae
|
||
|
|
||
|
"kabla sijafanya hivyo, niruhusu niseme kwaheri" au "niruhusu kwanza niwaambie naondoka"
|
||
|
|
||
|
# walio katika nyumba yangu
|
||
|
|
||
|
"nyumba yangu" au "watu wa nyumabani kwangu"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna anaefaa kwa ajili ya ufalme wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Yesu anajibu mithari kumfundisha mwandamu kwa mwanafunzi wake, Yesu anamaanisha mtu hafai kwa ajili ya ufalme wa Mungu kama anafata watu wa nyuma badala ya kumfata Yesu
|
||
|
|
||
|
# "Atiae mkono wake kwenye jembe
|
||
|
|
||
|
AT: " baada ya kuanza kulima shamba lake" au "baada ya kuanza kuandaa shamba lake"
|
||
|
|
||
|
# akaangalia nyuma
|
||
|
|
||
|
Mtu anaangalia nyuma wakati analima hawezi kuliongoza vizuri jembe pale linapotakiwa kwenda. Wanatakiwa kuwa makini kuangalia mbele ili walime vizuri.
|
||
|
|
||
|
# kufaa kwa
|
||
|
|
||
|
"kufaa kwa" au " kizuri kwaajili ya"
|
||
|
|