forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
814 B
Markdown
21 lines
814 B
Markdown
|
# Petro akajibu akasema
|
||
|
|
||
|
Yohana alikuwa anajibu juu ya kile Yesu alichosema kuhusu ukuu. Hakuwa anajibu swali. alitaka kujua mtu aliye yalhimiza mapepo kutoka atakuwa na nafasi gani kati ya wanafunzi. AT : "kwenye kujibu, Yohana akasema" au "Yohana alijibu kwa Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Bwana
|
||
|
|
||
|
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hapa linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "mweshimiwa"
|
||
|
|
||
|
# jina lako
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mtualiyekuwa anaongea alikuwa na nguvu na mamlaka ya Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Msimzuie
|
||
|
|
||
|
AT: "mruhusu aendelee"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya lugha ina misemo inayomaanisha kitu kile kile. AT: "kama mtu asipokuzuia , ni kama anakusaidia" au "kama mtu hatendi kinyume na wewe, anafanya sawa sawa na matakwa yako."
|
||
|
|