forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
820 B
Markdown
25 lines
820 B
Markdown
|
# sasa
|
||
|
|
||
|
Hii sentensi ya imetumika kuashiria pumziko kwenye hadithi wenyewe inayotolewa, Hapa Luka anasimuili taarifa kuhusu Musa na Yakobo, na Yohana.
|
||
|
|
||
|
# waliuona utukufu wake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mwanga uliowaka kuwazunguka. AT: "Aliona mwanga mkali unawaka kwa yesu" au "waliona mwanga mkali unatokea ndani ya Yesu"
|
||
|
|
||
|
# wanaume waili walikuwa wamesimama nae
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha Musa na Elisha.
|
||
|
|
||
|
# Ikatokea kwamba
|
||
|
|
||
|
Hii sentensi imetumika hapa kuonesha matukio yananza. Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# Bwana
|
||
|
|
||
|
Neno lililotafasiriwa hapa kama "Bwana" sio neno la kwawaida kumaanisha " Bwana." Hili linamaanisha mtu mwenye mamlaka na sio mtu anaemmiliki mtu mwingine. AT: "Bosi"au "kiongozi" au neno huwa linatumika kueleza mtu mwenye mamlaka, mfano kama "Sir"
|
||
|
|
||
|
# malazi
|
||
|
|
||
|
"hema" au "kibanda"
|
||
|
|