forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
558 B
Markdown
25 lines
558 B
Markdown
|
# na maneno yangu
|
||
|
|
||
|
AT: "na nilichosema" au "na nilichofundisha"
|
||
|
|
||
|
# yeye mwana wa Adam atamuonea aibu
|
||
|
|
||
|
"mwana wa Adam atamuonea aibu"
|
||
|
|
||
|
# mwana wa Adam
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa anajiongelea yeye mwenyewe. AT: "mimi, mwana wa Adam"
|
||
|
|
||
|
# atakapo kuwa katika utukufu wake
|
||
|
|
||
|
Yesu anajiongelea yeye mwenyewe kupitia nafsi ya tatu. AT: "nitakapokuja kwenye utukufu wangu"
|
||
|
|
||
|
# baadhi yenu wasimamao hapa
|
||
|
|
||
|
"baadhi yenu mliosimama na mimi hapa"
|
||
|
|
||
|
# hawata ionja mauti mpaka wauone ufalme wa Mungu
|
||
|
|
||
|
AT: "watauona ufalme wa Mungu kabla hawajafa" au "utauona ufalme wa Mungu kabla huja"
|
||
|
|