forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
364 B
Markdown
9 lines
364 B
Markdown
|
# atakayemtoa mtoto wake yeyote kwa Moleki
|
||
|
|
||
|
Wale waliomwabudu Moleki waliwatoa dhabihu watoto wao kwake kwa njia ya moto. Maana kamili yaweza kuwekwa wazi. : "auaye watoto wake kama sadaka kwa Moleki"
|
||
|
|
||
|
# hakika atauawa. Ni lazima watu wa nchi wamponde kwa maw
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Watu katika nchi watamponda kwa mawe mpaka kufa
|
||
|
|