forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
342 B
Markdown
17 lines
342 B
Markdown
|
# usitumie vipimo vya udanganyifu
|
||
|
|
||
|
Hii hukataza desturi ya utuumiaji wa makusudi wa zana zinzosababisha usomaji usio sahihi wakati wa kupima vitu.
|
||
|
|
||
|
# Efa
|
||
|
|
||
|
Hiki kilikuwa kipimo cha nafaka.
|
||
|
|
||
|
# hini
|
||
|
|
||
|
Hiki kilikuwa kipimo kwa ajili ya vimiminika
|
||
|
|
||
|
# Sharti uyatii...na kuyatenda
|
||
|
|
||
|
Virai hivi humaanisha kitu kile kile na husisitiza amri ya kutii.
|
||
|
|