forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
916 B
Markdown
33 lines
916 B
Markdown
|
# Habari ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaendelea kutumia ulinganishaji katika mistari hii, kuwasilisha wazo moja akitumia taarifa mbili tofauti kusisitiza hisia za Ayubu juu ya ufupi wa maisha.
|
||
|
|
||
|
# Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia
|
||
|
|
||
|
"Maisha yangu yanapita haraka sana"
|
||
|
|
||
|
# mfumaji
|
||
|
|
||
|
mtu ambaye hutengeneza nguo kwa kupishanisha uzi au kitani
|
||
|
|
||
|
# chombo cha kufumia
|
||
|
|
||
|
ni kipande ambacho kinatembea mbele na nyuma haraka sana katika mashine au chombo kwa ajili ya kutengeneza nguo
|
||
|
|
||
|
# zinapita bila tumaini
|
||
|
|
||
|
"zinafika mwisho bila matumaini kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Mungu, anakumbuka
|
||
|
|
||
|
Neno "Mungu" liliongezwa katika kifungu hiki kwa sababu watu ambao watasikia "kumbuka" waliweza kuelewa kwamba Mungu ameandikiwa.
|
||
|
|
||
|
# maisha yangu ni pumzi tu
|
||
|
|
||
|
Katika msemo huu, Ayubu analinganisha ufupi wa maisha yake na upungufu wa pumzi. "Maisha yangu ni mafupi kama kupumua mara moja"
|
||
|
|
||
|
# jicho langu halitaona mema tena
|
||
|
|
||
|
"Sitapata tena furaha"
|
||
|
|