forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
599 B
Markdown
25 lines
599 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla:
|
||
|
|
||
|
Huu ndio mwisho wa Injili ya Yohana. Hivyo mwandishi ambaye ni Yohona anatoa salamu za mwisho na kusema kidogo kuhusiana na yeye mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# mwanafunzi
|
||
|
|
||
|
mwanafunzi wa Yohana
|
||
|
|
||
|
# ambaye hushuhudia kuhusu mambo yaleyale
|
||
|
|
||
|
neno kushuhudia kama lilivyotumika hapa linamaanisha kuona kitu
|
||
|
|
||
|
# sisi tunajua
|
||
|
|
||
|
"sisi" hapa inamaanisha wale wanaomwamini Yesu
|
||
|
|
||
|
# kama kila kitu kingeandikwa
|
||
|
|
||
|
unaweza kutafsiri pia kwa kusema, "kama mtu angeandika kila kitu"
|
||
|
|
||
|
# hata dunia pia isingeweza kutosha vitabu vyote
|
||
|
|
||
|
Yesu alifanya miujiza mingi kuliko ambavyo watu wangeweza kuandika kwenye vitabu
|
||
|
|