forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
628 B
Markdown
17 lines
628 B
Markdown
|
# Hutoa nguvu kwa waliochoka; na kwa wadhaifu hutoa nguvu mpya
|
||
|
|
||
|
Mistari hii miwili inatuma maana za kufanana na husisitiza ya kwamba Yahwe hutia nguvu wale ambao hawana nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Hutoa nguvu
|
||
|
|
||
|
"Yahwe hutoa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# watapaa kwa mabawa kama tai
|
||
|
|
||
|
Watu kupokea nguvu kutoka kwa Yahwe inazungumziwa kana kwamba watu waliweza kupaa kama tai wanavyopaa. Tai ni ndege ambaye hutumiwa mara kwa mara kama alama ya uwezo na nguvu.
|
||
|
|
||
|
# watakimbia na kuwatachoka; watatembea na hawazimia
|
||
|
|
||
|
Mistari hii miwili inatumia maana za kufanana. Watu kupata nguvu kutoka kwa Yahwe inazungumziwa kana kwamba waliweza kukimbia na kutembea bila kuchoka.
|
||
|
|