forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
370 B
Markdown
17 lines
370 B
Markdown
|
# jemadari yule
|
||
|
|
||
|
Jina la kamanda mkuu wa majeshi ya Ashuru
|
||
|
|
||
|
# Sargoni
|
||
|
|
||
|
jina la mfalme wa Ashuru
|
||
|
|
||
|
# alipigana dhidi ya Ashdodi na kuuchukua
|
||
|
|
||
|
Ashdodi ina maana ya jeshi la Ashdodi. "alipigana dhidi ya jeshi la Ashdodi na kulishinda"
|
||
|
|
||
|
# kutembea uchi na peku
|
||
|
|
||
|
"kutembea tembea bila nguo na bila ndara". Hapa neno "uchi" huenda ina maana ya kuvaa nguo zake za ndani pekee.
|
||
|
|