forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
413 B
Markdown
17 lines
413 B
Markdown
|
# Hizi zilikuwa koo
|
||
|
|
||
|
Hii inarudi nyuma kwa watu wote waliorodheshwa katika 10:1
|
||
|
|
||
|
# kulingana na
|
||
|
|
||
|
"imeorodheshwa kwa"
|
||
|
|
||
|
# kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi
|
||
|
|
||
|
"kutoka kwa koo hizi mataifa yaligawanyika na kusambaa nchini kote" au "Koo hizi ziligawanyika baina yao na kuunda mataifa ya dunia"
|
||
|
|
||
|
# baada ya gharika
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa dhahiri au kwa uwazi zaidi. "baada ya gharika kuangamiza nchi"
|
||
|
|