forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
290 B
Markdown
13 lines
290 B
Markdown
|
# tazama!
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.
|
||
|
|
||
|
# varanda yenye matao na nguzo
|
||
|
|
||
|
vinyago mbele ya lango la kuingia pamoja na safu au mihimili kwa ajili ya kusaidia
|
||
|
|
||
|
# na ntuso zao kuelekea mashariki
|
||
|
|
||
|
"na walikuwa wakitazama kuelekea mashariki"
|
||
|
|