forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
437 B
Markdown
17 lines
437 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# kitakuwa cha mgeni, cha yatima na cha mjane
|
||
|
|
||
|
"mizabibu ambayo hautaokota itakuwa kwa ajili ya mgeni, yatima, na mjane kuokota"
|
||
|
|
||
|
# cha mgeni, cha yatima na cha mjane
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana yamakundi ya watu. "kwa ajili ya wageni, kwa wale yatima, au kwa wajane"
|
||
|
|
||
|
# ukumbuke
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "kumbuka"
|
||
|
|