forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
634 B
Markdown
29 lines
634 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kuhusu kile kilichotokea zamani.
|
||
|
|
||
|
# kama kwa wakati wa kwanza
|
||
|
|
||
|
"kwanza" ni namba ya makutano kwa ajili ya moja. Hapa urejea kwa wakati wa kwanza Musa alienda juu kwenye mlima wa Sinai kupokea mbao mbili toka Yahwe. "kama nilivyofanya kwanza"
|
||
|
|
||
|
# siku arobaini na usiku arobaini
|
||
|
|
||
|
"siku 40 na usiku 40"
|
||
|
|
||
|
# kuwaharibu
|
||
|
|
||
|
Musa azungumza na wanaisraeli kama wako mtu mmoja, hivyo neno "wewe" hapa ni umoja.
|
||
|
|
||
|
# kumiliki nchi
|
||
|
|
||
|
"chukua nchi" au "chukua miliki ya nchi"
|
||
|
|
||
|
# mababu wenu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo
|
||
|
|
||
|
# kuwapa wao
|
||
|
|
||
|
"ambacho nitawapa ninyi, wazao wao"
|
||
|
|