forked from WA-Catalog/sw_tn
53 lines
1.4 KiB
Markdown
53 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii imetaja viwakilishi vingi vya majina kuelezea watu mbalimbali walio tajwa na mwandishi Luka.
|
||
|
|
||
|
# katika kisiwa chote
|
||
|
|
||
|
Walitembelea kisiwa chote kutoka upande mmoja hadi upande mwingine wakiunena ujumbe wa Injili katika kila mji walimopita.
|
||
|
|
||
|
# Pafo
|
||
|
|
||
|
Ni mji Mkuu wa kisiwa cha Kapro mahali Liwali alikuwa akiishi.
|
||
|
|
||
|
# Walimkuta
|
||
|
|
||
|
Neno "Kumkuta" linamaanisha kuwa walimfikia bila ya kumtafuta.
|
||
|
|
||
|
# Mtu fulani mchawi
|
||
|
|
||
|
"Mtu aliyekuwa akifanya kazu ya uchawi" au "Mtu aliyekuwa akifanya mambo yasiyo ya kawaida katika fani ya kimazingaombwe"
|
||
|
|
||
|
# ambaye jina lake lilikuwa Bar Yesu
|
||
|
|
||
|
"Bar - Yesu" maana yake "Mwana wa Yesu". Hakukuwa na mahusiano yoyote ya karibu na Yesu Kristo". Jina Yesu lilikuwa ni jina la kawaida katkia wakati ule.
|
||
|
|
||
|
# Mchawi huyu alishirikiana
|
||
|
|
||
|
"Alikuwa mara kwa mara pamoja na" au "Alikuwa mara kwa mara akiambatana na"
|
||
|
|
||
|
# Liwali
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa Kiongozi mtendaji Katika utawala mkoa wa dola ya Rumi.
|
||
|
|
||
|
# aliyekuwa mtu mwenye akili
|
||
|
|
||
|
Hii ni historia ya maisha ya Liwali Sergio Paulus.
|
||
|
|
||
|
# Lakini Elima "yule mchawi"
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa Bar- Yesu, ambaly aliyekuwa akiitwa mchawi.
|
||
|
|
||
|
# hivyo ndivyo jina lake lilivyo tafsiriwa
|
||
|
|
||
|
"Hivyo ndivyo jina lake katika lugha ya kigriki"
|
||
|
|
||
|
# aliwapinga; alijaribu kumgeuza
|
||
|
|
||
|
"Aliwazuia akijaribu kumgeuza"
|
||
|
|
||
|
# alijaribu kumgeuza yule liwali atoke kwenye imani
|
||
|
|
||
|
"Alijaribu kumshawishi Liwali kuiacha imani ya ujumbe wa Injli"
|
||
|
|